Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na watu wanne wenye ugonjwa wa ukoma waliokuwa nje ya milango ya mji wa Samaria ambao walisemezana, wao kwa wao, “Mbona tunakaa hapa tukifa njaa?

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:3 katika mazingira