Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:19 Biblia Habari Njema (BHN)

kapteni alikuwa amembishia Elisha, akisema, “Kama Mwenyezi-Mungu mwenyewe angefanya madirisha mbinguni, je, jambo hili lingewezekana?” Naye Elisha alikuwa amemjibu, “Utaona yakitendeka, lakini chakula chenyewe hutakila.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:19 katika mazingira