Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mmoja kati ya maofisa wake akasema, “Watu wengi tayari wameangamia kama vile wale ambao wamekwisha fariki. Tafadhali utume watu wachache na farasi watano wa wale waliobaki ili waende kuona kumetokea nini.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:13 katika mazingira