Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita mabawabu wa mji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumsikia mtu yeyote. Farasi na punda wangali wamefungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:10 katika mazingira