Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mmoja kulikuwa na hali ya vita kati ya Aramu na Israeli. Basi, mfalme wa Aramu akashauriana na maofisa wake kuhusu mahali watakaposhambulia.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6

Mtazamo 2 Wafalme 6:8 katika mazingira