Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 6:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Elisha akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, umfumbue macho ili apate kuona!” Basi, Mwenyezi-Mungu akamfumbua macho huyo kijana, akaona farasi na magari ya moto yakiwa kila mahali katika mlima wote, kumzunguka Elisha.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6

Mtazamo 2 Wafalme 6:17 katika mazingira