Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 6:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku moja, wanafunzi wa manabii walimlalamikia Elisha wakisema, “Mahali hapa tunapokaa ni padogo sana kwetu!

2. Turuhusu twende Yordani tukate miti ili tujijengee mahali patakapotutosha.” Elisha akawajibu, “Nendeni.”

3. Mmoja wao akamwomba akisema, “Tafadhali uwe radhi uende na watumishi wako.” Naye akajibu, “Nitakwenda.”

4. Hivyo akaenda pamoja nao, na walipofika mtoni Yordani wakaanza kukata miti.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6