Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme wa Israeli aliposoma barua hii alirarua mavazi yake na kusema, “Mbona mfalme wa Aramu anataka nimtibu mtu huyu ukoma wake? Kwani anafikiri mimi ni Mungu aliye na uwezo wa kuua au kufufua? Fahamuni basi, mwone ya kwamba mtu huyu anataka kuniletea mzozo.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 5

Mtazamo 2 Wafalme 5:7 katika mazingira