Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 5:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Elisha akamwambia, “Kwani roho yangu haikuwa pamoja nawe wakati mtu yule alipotoka garini mwake na kuja kukutana nawe? Je, huu ndio wakati wa kupokea fedha na mavazi, mashamba ya mizeituni na mizabibu, kondoo na ng'ombe au watumishi wa kiume na wa kike?

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 5

Mtazamo 2 Wafalme 5:26 katika mazingira