Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 5:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika mlimani alipoishi Elisha, Gehazi akachukua mafungu ya fedha kutoka kwa watumishi wa Naamani na kuyapeleka ndani, nyumbani mwake. Kisha akawaruhusu wale watumishi waende zao, nao wakaondoka.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 5

Mtazamo 2 Wafalme 5:24 katika mazingira