Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 4:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Mmoja wao akaenda shambani na kuchuma mboga. Huko akaona mtango-mwitu, akachuma matango mengi kadiri alivyoweza kuchukua. Akaja nayo, akayakatakata na kuyatia chunguni bila kuyajua.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 4

Mtazamo 2 Wafalme 4:39 katika mazingira