Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 3:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo akamchukua mwanawe wa kwanza ambaye angekuwa mfalme mahali pake, akamtoa kuwa sadaka ya kuteketezwa juu ya ukuta wa mji. Watu wa Israeli walipoona hayo, wakachukizwa mno. Wakauacha mji huo na kurudi nchini kwao.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 3

Mtazamo 2 Wafalme 3:27 katika mazingira