Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Elisha akamwuliza mfalme wa Israeli, “Nina uhusiano gani nawe? Nenda ukawatake shauri manabii ambao baba yako na mama yako waliwaendea.” Mfalme wa Israeli akajibu, “Sivyo! Mwenyezi-Mungu ndiye aliyetuita sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa mfalme wa Moabu.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 3

Mtazamo 2 Wafalme 3:13 katika mazingira