Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 3:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Yehoshafati akauliza, “Je, hakuna nabii yeyote hapa wa Mwenyezi-Mungu ambaye tunaweza kumwuliza shauri la Mwenyezi-Mungu?” Mtumishi mmoja wa mfalme Yoramu wa Israeli akajibu, “Elisha mwana wa Shafati yupo hapa. Yeye alikuwa mtumishi wa Elia.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 3

Mtazamo 2 Wafalme 3:11 katika mazingira