Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku ya saba ya mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babuloni, Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme, aliingia Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:8 katika mazingira