Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sehemu ya ukuta wa mji ilibomolewa, nao askari wote wakakimbia wakati wa usiku wakipitia katika bustani ya mfalme kwenye lango katikati ya kuta mbili, wakaenda upande wa Araba, ingawa Wababuloni walikuwa wameuzunguka mji.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:4 katika mazingira