Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa thelathini na mbili, Evil-merodaki mfalme wa Babuloni, alipoanza kutawala, mwaka huohuo alimsamehe Yehoyakini mfalme wa Yuda, akamtoa gerezani. Hiyo ilikuwa siku ya ishirini na saba ya mwezi wa kumi na mbili, mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini alipochukuliwa mateka.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:27 katika mazingira