Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwezi wa saba, Ishmaeli mwana wa Nethania, mjukuu wa Elishama aliyekuwa wa ukoo wa kifalme, alifika kwa Gedalia akiandamana na watu kumi, akamshambulia Gedalia, akamuua. Vilevile, aliwaua Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa naye.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:25 katika mazingira