Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha makapteni wote wa majeshi pamoja na watu wao waliposikia kuwa mfalme wa Babuloni alimteua Gedalia kuwa mtawala, walimwendea Gedalia huko Mizpa. Watu hao walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:23 katika mazingira