Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 25:19 Biblia Habari Njema (BHN)

alimchukua towashi mmoja huko mjini ambaye alikuwa akiwaongoza askari vitani, pamoja na watu watano mashuhuri wa mfalme ambao aliwakuta huko. Vilevile, alimchukua katibu wa kamanda mkuu wa jeshi ambaye alitunza kumbukumbu za jeshi pamoja na watu sitini mashuhuri ambao aliwakuta mjini Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 25

Mtazamo 2 Wafalme 25:19 katika mazingira