Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 23:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akawaondoa makuhani wote waliobarikiwa na wafalme wa Yuda ili kufukiza ubani katika mahali pa kuabudia katika miji ya Yuda na kuzunguka Yerusalemu; pia na wale waliofukiza ubani kwa Baali, jua, mwezi, nyota na sayari katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:5 katika mazingira