Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 23:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu. Mama yake alikuwa Hamutali binti Yeremia wa Libna.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:31 katika mazingira