Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 22:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha kuhani mkuu Hilkia alimwambia katibu Shafani, “Nimekipata Kitabu cha Sheria katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.” Halafu Hilkia akampatia Shafani kitabu, naye akakisoma.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 22

Mtazamo 2 Wafalme 22:8 katika mazingira