Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 21:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia alimtoa mwanawe kuwa sadaka ya kuteketezwa. Alipiga ramli; alibashiri akishirikiana na waaguzi wa mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Mwenyezi-Mungu, akamkasirisha.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 21

Mtazamo 2 Wafalme 21:6 katika mazingira