Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 21:21-23 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Alifuata njia yote aliyoiendea baba yake na kutumikia sanamu ambazo baba yake alizitumikia na kuziabudu.

22. Alimwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zake, hakushika njia ya Mwenyezi-Mungu.

23. Baadaye watumishi wa Amoni walikula njama na kumwua katika ikulu yake.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 21