Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 21:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, licha ya dhambi yake alipowakosesha watu wa Yuda wakafanya dhambi kwa kutenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, Manase aliwaua watu wengi wasiokuwa na hatia, damu ilijaa toka upande mmoja mpaka upande mwingine wa Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 21

Mtazamo 2 Wafalme 21:16 katika mazingira