Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hezekia akamwuliza Isaya, “Ni ishara gani ambayo itanionesha kwamba kweli Mwenyezi-Mungu ataniponya na katika siku ya tatu nitaweza kwenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu?”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:8 katika mazingira