Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu akamwuliza, “Wameona nini katika ikulu yako?” Hezekia akamjibu, “Wameona yote yaliyomo katika ikulu yangu. Hakuna chochote katika bohari zangu ambacho sikuwaonesha.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:15 katika mazingira