Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Wakati huo Hezekia aliugua sana karibu na kufa. Ndipo nabii Isaya, mwana wa Amozi alipomwendea na kumwambia, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu; ‘Panga mambo yako sawasawa katika nyumba yako kwa kuwa utakufa, hutapona.’”

2. Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu akisema,

3. “Ee Mwenyezi-Mungu, nakusihi ukumbuke jinsi nilivyokutumikia kwa uaminifu na kwa moyo wangu wote na kutenda yaliyo sawa mbele yako.” Hezekia akalia kwa uchungu sana.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20