Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika ngambo, Elia akamwambia Elisha, “Niambie unalotaka nikufanyie kabla sijaondolewa kwako.” Elisha akamwambia, “Naomba sehemu maradufu ya roho yako.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:9 katika mazingira