Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Elia akamwambia Elisha, “Tafadhali kaa hapa; Mwenyezi-Mungu amenituma niende Yeriko.” Lakini Elisha akakataa akisema, “Naapa kwamba kama Mwenyezi-Mungu aishivyo na kama wewe mwenyewe uishivyo sitakuacha.” Basi, wakaenda pamoja mpaka Yeriko.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:4 katika mazingira