Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamwambia, “Sisi watumishi wako tunao mashujaa hamsini; tafadhali waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Ikiwa roho ya Mwenyezi-Mungu imembeba na kumtupa juu ya mlima fulani au bondeni.” Elisha akajibu, “La, msiwatume.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:16 katika mazingira