Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 19:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, uliyekuwa unamkashifu na kumdhihaki ni nani?Nani umemwinulia sautina kumkodolea macho kwa kiburi?Juu ya Mtakatifu wa Israeli!”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 19

Mtazamo 2 Wafalme 19:22 katika mazingira