Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa nne wa enzi ya Hezekia, ambao pia ulikuwa mwaka wa saba wa enzi ya Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru alishambulia mji wa Samaria na kuuzingira.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:9 katika mazingira