Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Aliharibu mahali pote pa juu pa kuabudia miungu ya uongo na kuvunja nguzo za kutambikia na za mungu Ashera. Kadhalika, alivunja nyoka wa shaba ambaye Mose alimtengeneza, aliyeitwa Nehushtani. Mpaka wakati huo, watu wa Israeli walikuwa wakiitambikia.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:4 katika mazingira