Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia, Shebna katibu na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi, wakamwendea Hezekia huku mavazi yao yakiwa yameraruka, wakamweleza maneno ya jemadari mkuu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:37 katika mazingira