Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:32 Biblia Habari Njema (BHN)

mpaka baadaye nitakapokuja na kuwapeleka mbali katika nchi kama hii yenu, nchi yenye nafaka na divai, nchi yenye mikate na mashamba ya mizabibu; nchi yenye mizeituni na asali, ili mpate kuishi, msije mkafa.’ Msimsikilize Hezekia anapowahadaa akisema, ‘Mwenyezi-Mungu atatuokoa.’

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:32 katika mazingira