Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Eliakimu mwana wa Hilkia, Shebna na Yoa wakamwambia huyo jemadari mkuu, “Tafadhali, sema nasi kwa lugha ya Kiaramu, maana tunaielewa; usiseme nasi kwa lugha ya Kiebrania; kwa kuwa watu walioko ukutani wanasikiliza.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:26 katika mazingira