Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:22 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini hata kama mkiniambia: ‘Tunamtegemea Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu’, Jueni kwamba ni Mungu huyohuyo ambaye Hezekia alipaharibu mahali pake pa juu na madhabahu zake, akawaambia watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu waabudu tu mbele ya madhabahu iliyoko Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:22 katika mazingira