Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme wa Ashuru alimtuma jemadari mkuu, amiri mkuu, mkuu wa matowashi pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi kwenda kwa mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Walisafiri na kufika Yerusalemu. Nao walipowasili waliingia na kusimama karibu na mfereji wa bwawa lililoko upande wa juu katika barabara kuu inayoelekea Uwanda wa Dobi.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:17 katika mazingira