Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Hezekia akatuma ujumbe kwa Senakeribu huko Lakishi na kumwambia, “Nimefanya makosa. Tafadhali, komesha mashambulio yako kwangu; nami nitalipa chochote utakacho.” Mfalme wa Ashuru akaagiza Hezekia amletee tani kumi za fedha na tani moja ya dhahabu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:14 katika mazingira