Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 18:12 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu Waisraeli hawakutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, bali walivunja agano lake, hata hawakusikia wala kutii yote Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliyowaamuru.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 18

Mtazamo 2 Wafalme 18:12 katika mazingira