Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Israeli walitenda kwa siri mambo yasiyokuwa mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wao. Walijenga mahali pa juu pa kuabudia miungu ya uongo katika kila mji, kuanzia mnara wa walinzi mashambani hadi katika mji wenye ngome.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:9 katika mazingira