Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliuteka Samaria, na kuwachukua watu wa Israeli mateka mpaka Ashuru, baadhi yao akawaweka katika mji wa Hala, wengine karibu na mto Habori, mto Gozani na wengine katika miji ya Media.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:6 katika mazingira