Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata sasa wanatenda kama walivyofanya hapo awali. Hawamwabudu Mwenyezi-Mungu, na wala hawafuati masharti, maagizo, sheria au amri ambazo yeye Mwenyezi-Mungu aliwaamuru wana wa Yakobo; ambaye alimpa jina Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:34 katika mazingira