Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hawa vilevile walimwabudu Mwenyezi-Mungu. Waliteua kutoka kati yao watu wa kila aina na kuwafanya makuhani kutumika katika mahali pa juu na kutoa sadaka huko kwa niaba yao.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:32 katika mazingira