Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme wa Ashuru akachukua watu kutoka Babuloni, Kutha, Ava, Hamathi na Sefarvaimu na kuwaweka katika miji ya Samaria mahali pa watu wa Israeli waliopelekwa uhamishoni. Wakaitwaa miji hiyo na kukaa humo.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:24 katika mazingira