Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Mwenyezi-Mungu kutenga watu wa Israeli kutoka ukoo wa Daudi, walimtawaza Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme. Naye Yeroboamu aliwafanya watu wa Israeli kumwacha Mwenyezi-Mungu na kutenda dhambi kubwa sana.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:21 katika mazingira