Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliwatambika watoto wao wa kiume na wa kike kwa miungu ya uongo; wakataka shauri kwa watabiri na wachawi. Walinuia kabisa kutenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, wakamkasirisha sana.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:17 katika mazingira