Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Walikataa kutii maagizo yake; hawakushika agano alilofanya na babu zao; licha ya kupuuza maonyo yake, waliabudu sanamu zisizokuwa na maana mpaka hata wao wenyewe hawakuwa na maana tena; walifuata desturi za mataifa yaliyowazunguka: Walipuuza amri za Mwenyezi-Mungu; wala hawakuzizingatia.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:15 katika mazingira